@bettyabilla49225 years agoGai thanks for the tip ntajaribupia thanks alot.
@
@Kenchiyh6 years agoNauna nywele ndefu adikutengeneza. Tfs.
@
@christinaexavery96735 years agoMi nilisha wai kufanya ivyo nywele zangu zilibadilika na kuwa nyepesi zaidi.
@
@roidatadey86565 years agoWaoow nywere zako zimelingana na zangu. 1
@
@happyjohn732 years agoAlive my dear endelea ivyo nizuri sana wapendwa.
@
@muniraabdulrahman56562 years agoUkishapaka steaming unakowha tena na shampoo au maji matupu.
@
@halimanoor71383 years agoMm nataka kukuza zangu lkn hazitakiku kua tena nifanye n.
@
@abuudaru64933 years agoNiukweli jamani nywele zetu zinakatika.
@
@neysaimon95605 years agoMasha llah huo unywele. Upaka baada ya ck gap ndo unarudia au kila ukijiskia kupaka.
@
@mussacholobi53625 years agoHongera sana mdada unaelimisha vizuri sana hadi mtu unaelewa mimi ndio nimeanza hiyo stiming ya aina hiyo nimeona matokeao nilikuwa nafanya zingine nywere zako ndefu sana hongera sana naamini na mimi nitafika.
@
@nyasojasmin24466 years agoNywele zako nzuri jamani, na ni refu mnoo.
@
@gillezaga88333 years agoNywele yangu inakatika usoni unanisaidiaje.
@
@aminamussaramadhani2195 years agoUnaweza tumia kama husuki? Maana mm nina tatizo nikisuka na i' m a kichwa je naweza kumtumia njia hii ilikukuza nywele kwa sababu napenda nywele ndefu, naomba unishaurj kama inafaa. 2
@
@suhayllahabdull57955 years agoAsnt sna na natakiwa nifanye kila baada ya mda gani.
@
@dianamalingumu45165 years agoUkichanganya yai parachichi nazi asari haiwezekani au vitu viwili tu.
@
@neemabwenge2465 years agoEt mamaa kwa apa moshi umepata wap io share butter. 1
@
@fatmashaffy93355 years agoEty mamy nywele zang n z dawa znafaa kuifanyia hyo stimin.
@
@tauskipara98025 years agoDada nywele zangu ni fupi je naweza kufanya iyo steaming?
@
@barikikaroli60886 years agoNi nzuri sana mimi huwa nafanya hivyo video nzuri dear na nywele zako nazipenda. 1
@
@fatmamrisho74383 years agoDah hilo parachichi nimelitamani kula jaman nitaweza kweli kupaka kichwani na uroho huu.
@
@zainaanzuruni12475 years agoNime ipenda kazi yako unaweza uka nisaidia namba yako dada kwakuwa naitaji mwelekezo zaidi. 4
@
@julianasabrere61985 years agoNaweza kukaa kwenye steamer baada ya kupaka hii steaming?
@
@jeniphavicent86922 years agoKwahiyo naiosha kwanza kabla ya kupaka huo mchanganyiko?
@
@ezekiafilbert48964 years agoNimeipenda ila sina noti ya kununulia hiyo nazi we mungu nisaidie. 1
@
@salmaabdallah38215 years agoShampoo gan nitmie nywele ang ina mba jmn alaf inaniwasha.
@
@daniellatemu91926 years agoNaitaji hiyo kofia nitapata wapi? Nimetafuta nimekosa.
@
@wemamwandiga60605 years agoIka hi! Sorry hiyo cantu kwa dar naipata wap?
@
@laurenciam2i4595 years agoNikimaliza kuonsha nywele nazikausha na nini ili niweke steming?
@
@mwanaidibaraka28715 years agoNnavyopenda parachichi ningekula lote hata nywele nsngezikumbuka. 1
@
@nawalinesaid62105 years agoMambo ika kabla ya kupaka huo mchanganyiko unaosha kwa maji bila shampoo?
@
@adammtundu12964 years agoMbona hausemi km kwa wiki una paka mara ngapi au kwa mwezi.
@
@sadaally99786 years agoIvi ni kweeli hii nywele huwa zinakua?
@
@devothamrina29972 years agoNimefurahi kujua ila tatizo sijui nywele yangu inapokea stimini ipi maana nina nywele ngumu haswa.
@
@anetaaneta12165 years agoIyo nyeupe inaitwaje na je naezatumia parachichi pekee au.
@
@anetaaneta12165 years agoPia naeza changanya parachichi na yai nijibu plz. 1
@
@AnisaAnisa-db4sw6 years agoSister mambo naomba kuuliza avocado na tui la nazi ukisha maliza kupaka la kama unaosha una tumia shampoo tena ama unaosha tu bac. 1
@
@LifestylewithLyne6 years agoSijawahi fanya steaming tangu nywele zangu zizaliwentajaribu ila nahisi hilo parachichi ntaishia kulila tu. 3
@
@sigridvahaye22796 years agoInakuaje nikitumia nazi ya kukuna mamie. 1
@
@veronicalelo3326 years agoNaona utumie nazi natural isiyo na chemical au sawa tu. 1
@
@hasnaabduly49456 years agoNajikuta ninanywele za hivo uwii me ngoja nijitahidi labda nitakua nazo. 3
Related videos for KUZA NYWELE NYUMBANIFAIDA ZA PARACHICHI X TUI LA NAZI STEAMING YA NYWELE Ika Malle :
yai
parachichi
nazi
asari
haiwezekani au vitu viwili tu.
unaweza uka nisaidia namba yako dada kwakuwa naitaji mwelekezo zaidi. 4
kabla ya kupaka huo mchanganyiko unaosha kwa maji bila shampoo?