Mwigizaji Wastara anavyo vichwa vya habari Tanzania kutokana na ndoa yake kuvunjika ndani ya siku 80 akiwa kaolewa na Mbunge wa Zanzibar, hii ndio ndoa yake iliyowahi kukaa kwa muda mfupi zaidi.
@fainerjabil53438 years agopole sana Wastara Allah akupe Subra na Akujalie Mme mwingine atakayejua thamani yako 7
@
@saidikobossa74898 years agoWastara you need my kind of husband. Nimeshaoa na sitaongeza mke but tuko wachache sana INSHA ALLAH, Utapata. Utapata mwenye uwezo wa kawaida na mtashiriki wote kujenga Maisha. INNA LLAHA MAASWABIRIIN ...17
@
@leahpeter88157 years agopole sana,bora kupata mume anayejua kubembeleza coz hela zinatafutwa..pole sana dada'ke 6
@
@edinaedward91448 years agoDa wastara pole mungu akuepushie kila lililo baya nakupenda sana 8
@
@janetbernad52588 years agopole sana wastara dada yangu nimekuona huruma sana .yote maisha .utazoea .ndo maisha ya kuolewa yalivyo 3
@
@marciakassimkassim92758 years agoKatwa wasii wote bongo...wasatra nakupenda.....coz unajieshim ..sana...nii mvumilivu sjapata kuona....Masha Allah.....yote yalo semwa kuusu kuvunjka kwa ndoa sikuamn...kher umesema kwa kinywa chako..pole kwa mitian....Yataisha in sha Allah..Nakuomba wastra kaa umepona na unanguvu...nenda ukafanye Hajji..uenda Allah anaeza itikia dua zako...mitan ikaisha in sha Allah... ...
@
@mendeadui51118 years agoyaani wastra we kiboko...nimekuheshimu dadangu....kweli kabisa mume wa mtu who mtamu kabisa..hongera sana. 2
@
@shamsakenya30938 years agoSubhana'Allah.Pole sana Dada .Usijali mungu atakupa mume mwenye imani InshaAllah usikate tamaa. 2
@
@luckyasa39608 years agopole saana Mumy mungu atkuonyesha njia RIP sajuki 10
@
@janeedward87238 years agoMdogo wangu Wastara, wewe ni mzuri umeumbwa ukaumbika. Pole sana kwa story zako zote, zinatia huruma, zinafundisha na kwa ukweii mhhuuu! pole na hongera. Ila wewe ni simba jike simama mwenyewe maisha unayaweza. Usiruhusu kujipa maumivu tena! Maisha yako si ya kuwafanya wengine kutajirika kwa kuandika na kuuza story juu yako. You are unique my dear, you are worthy my darling. stop counting marriages. Let God be your husband kama neno lake lisemavyo yeye ni mume wa wajane na baba wa yatima... Nakupenda sababu uko na moyo mkuu stop matatizo katika matatizo yako allow God to take control over your life. ...13
@
@jumakhamisi55888 years agopole sana my dear sister Wastara. nimeumia sana saaana ila naamini Mola yupo pmja nawe na malipo ni hapa duniani atakulipia In sha Allah. HUKUMU yake ataipata hapa duniani kwakukudhalilisha, kukukashifu, kukunyanyasa nakukuumiza moyowako, hakika kuna Wanaume wengine hawajui kupendwa wanaipata bahati lkn wanazichezea. hakuna kitu kimeniuma km kukuita screpa hlfu kuja kukukashifu na kukusingizia uongo imeniuma sana kwani naamini hakuna binaadamu aliekamilika na hujafa huhaumbika na wala wewe hukuomba uwe hivyo. M/Mungu atakufariji habibty. atakupa stara km jina lko lilivyo In sha Allah. Love you so muuuch my sister. shukran Kaka Ayo kwakutujuza. ...
@
@lasoitantoya42608 years agoPole sana Wastara mimi nimekupata nikiwa Kenya kijijini Samburu.Nimejunza mengi sana .Huyo Mbunge ana mashetani ya mbunge pia anatatizo kubwa anahitaji si maombi tuu bali uhauri wa kimatibabu. Tafathali Millard huyu dada apewe Ulinzi wakutosha...huyo mbunge siamini aenda ...
@
@sophiealexander87038 years agoMuombe mungu akupatie mume mwema kama marehemu sajuki. Pumzika kwa amani kaka sajuki 6
@
@graciousjerry13228 years agoooooooops!! 😢😢😢😢 am speechless! pole sana. wastara ww ni shujaa wangu! yaan ww ni kioo changu 1
@
@mariakarey7018 years agopole Sana dada wastara Mungu yupo hutapata mwenye kukuthamini take time 1
@
@sakinasheidhan46425 years agoPole sana wastara Allah atakusaidia utapata mume bora 2
@
@marthalazaro17196 years agopole Sana wastara uyomwanaume nijibu amekudhalilisha kwawatu kakufatamwenyewe alafuanashidwa kukuheshim. Mungu yupo usikurupuketena piausisikilize ushauliwawatu utakuponza.
@
@samsonpeter18917 years agoaki pole wastara. sikujui sana but have followed your history. for sure its painful but trust in God 7
@
@marashtv85558 years agopole sana dada wastara mungu atakupa mwengine insha allah 1
@
@mickeyladyilikeyourvoice78518 years agowastara twakuombea inshaallah Mungu atakujaalia upate mume unaemuhitaji kama sajuki inshaalla 3
@
@annewetungumusuya92138 years agoWastara ulipata wapi ujasiri wa kuenda moja kwa moja kuonana Na mke wa huyu jamaa? I fear to be a 2nd yf really cz matokeo ni machungu.pole Dada Gods time is the best 3
@
@michaelmasijah7246 years agoWastara, you're a super woman kwa upande wangu nakuelewa sana!
@
@memoriserichard71938 years agonakupenda sana wastara n pole kwa yaliyokukuta dada angu Mungu akubariki 1
@
@athumannambombe43348 years agoPole sana Ndugu ya Wastara unachopaswa kukielewa ni kwamba hizo ni Changamoto unazotakiwa Uzibadili ziwe Fursa, Usife Moyo! 4
@
@sumaiyaabdi70788 years agoEti ameanguka kwa pikipiki mara amekwaruzwa jicho hahahahaha. what kind of a man was he? Those were not good signs & Who is this guy by the way? Daah tanzanian politicians are entertainers & entertainers are politicians.Sio mume yule wallah what a mess! Thank you millard for letting Wastara tell her story without interruption.its the best thing ive watched on YT today ...9
@
@salvakimati19448 years agopole sana wastara. maisha ndivyo yalivyo na challenges zake 1
@
@38wahida8 years agosijui kwann wastara alikubali kuolewa na yule ,jamaa ana matusi yule kama barazuli ,tabia zake yaan nadhan hakumjua tabia zake .ila ndio maisha . 12
@
@johnjackson43636 years agoWasanii mnajua kiongea sana sikuamini 100% yafaa milad ayo tusikie na upande wapili 9
@
@mayadahassan3578 years agoPole sana Dada yng. Ndo maisha inshaallh allh atakuajaalia Mwenye kher na ww 1
@
@sirielsamweli56884 years agoWastara pole hata mie nilikiona hicho kwa mume wangu,,,yaaaniii anakuja anakuta wageni ndani, anaingia kwa dharau anasema zima TV ,,, yaaaniii Mungu nisimamie ktk hili,,,wanawake tunapitia mambo mengi sanaaaaaaaa. 1
@
@anethlucas40457 years agopole mpenz wangu wastara mungu akupe itaji lamoyo wako nalipo usijali hata
@
@rizham64428 years agoSubhana Allah!!! Pole Sana Wastara wengine SI wanaume magumegume ndio kama hayo
@
@joycemartin53065 years agopole Sana dada wastara.kiukweli Usio fichika Uyo mtu alitegemea kupata mafanikio kupitia ww. ila Mungu atakulipa kwa alio yafanya. namchukia Kiukweli maana yupo kama muuwaji hayo maneno sio kabisa
@
@mariammahaba56618 years agomackini dadangu pole sana.hadi nahisi machoz.eti anakuita scrap?hukupenda ww uwe hivyo.ila hata yy ajafa ajaumbika.jipe moyo ulichukua uwamuzi wa sawa kabisa.ata MUNGU in shaa ALLAH utayasahau yote hayo.pole sana kipenzi. ...1
@
@rosemsemwa24214 years agoUshaur wangu kwa wastar hupaswi kumchukia uyo baba muombee maisha malefu ni mungu tu alikuunganisha nae ili upate sapota ya matibabu tu bas na sio vingine wacha maisha yaendelee
@
@ashagrills13198 years agoduuuuuhhhh pole sana mungu atakujaalia utapata mume mwema 2
@
@rehemakhamishassan99405 years agoDaah. dada pole sana my dia na hilo dada lilikukuta kwa kuwa una stress dada ndio maana hukuchagua. lakini pia heshima ya familia na kujiheshimu kwako ndo kulifanya ukubali kuolewa. Napenda kukushauri kuwa usikate tamaa yupo aliyepangwa na akakuoa na akawa zaidi ya sajuki Mola hakuondishei ila hukuwekea kilicho kizuri zaidi. Nakupenda sana dada Natamani niwe na namba yako ya simu ...1
@
@fat-hiahuwel62068 years agoPole sn dada Wastara Mungu yupo pamoja nawe 1
@
@ashapearubart26248 years agoPole sana.mwenyezi mungu atakuletea mema. 1
@
@fatmajakamwalela78428 years agoPole sana dadaa mungu yuko pamoja nawe....wanao Sema mume wa mtu sumu sioni kama mko sawa kwani mume ana haki ya wake wa 4
@
@suleimanhega49828 years agoPole sana; Bi. Wastara. Lakini hupaswi kukataa ndoa na juwa kuwa Binaadamu wote sio sawa. Ndoa ni jambo la heri na baraka ikiwa Mume au Mke watadumisha mambo haya; Upendo, Imani, Kuthaminiana, Kujaliana na Subra. Ushauri wangu kwako, Bado unaomuda kwavile wewe bado kijana mrembo sana, unapendeza si busara kukaa bila ya kitulizo cha moyo na nafsi kitakachokupa faraja. "Nacho ni Mume" Pole sana. ..Kwa kawaida wenye pesa au wanaopata pesa 'Huharibika kwa Jeuri, Kibri, Dharau na Kutokujali' Inatokana na kutokujielewa, anachoona yeye ni pesa tu ndio kila kitu. Pole sana. ... Nakukaribisha nyumbani Zanzibar na mimi naitamani hiyo nafasi ya (5). Kosa la Mpumbavu asiyejielewa lisitukoseshe wengine wenye nia na upendo wa dhati. "Inshaallah Mungu Akubariki na akulinde na husda pia akupe afya njema" AMIN. ..AMIN (0777481516) ...
@
@rafanasadiki11108 years agoWastara my sister katika maisha tunakutana na watu tofauti Sana
@
@lasoitantoya42608 years agoHadi Saa Sita usiku12:00pm aah vipi mgeni alikuwa na shida kweli. Wastara your the Best#Kenya 1
@
@farajaalex16037 years agoEdith umenifurahisha sana safi sana ubaguz sio mzuri ikiwa sote ni watoto Wa baba mmoja 4
@
@saumuabdallah74848 years agohkna dhiki wa dhiki @wastara kuwa na subra in shaa allah utapata alobora zaid ya uyo.muombe mola kwa sna.maamuzi yko sio mabaya coz unajitahidi kuepukana na zinaa allah akufanyie wepec
@
@angelsjg26838 years agowastara na kupenda sana mama, pole sana 3
@
@sanayairani222love28 years agoPole sana wastara kwa mitihani inayokutokezea nausiache kumshukuru mungu kwani yote nimajaribio yake tu anatuangalia waja wake vp tutamshukuru au la
@
@serodaflorans92498 years agopole xana my dear mungu atakupatia wako just trust in God 1
@
@calvinmbwana11437 years agodah wastara hakika wewe nimwanamke unayejitambua. nmeumizwa sana na maelezo yako. 3
@
@hawahamisi62378 years agopole sana my dada mungu yupa moja nawe 😭 2
@
@shamimubinkhamisi87198 years agosubwanAllah pole sana dadangu mungu atakupa mume mtakae endan tabia kwa kwel Inshaa Allah and inaliza kwel umetufunza pia ss wadogo zako asnt tnx millard ayo god bless you bro 1
@
@sophiatesha96967 years agopole xana Dada yangu mungu akupunguzie maumivu
@
@anisiamedard37758 years agopole my sister maisha ni safari ndefu usikate tamaa pia mtegemee Mungu kwa kila jambo
@
@salmazena73888 years agopole sana wastara uxijali mungu upamoja nawe dadaaa
@
@sirialemmy378 years agoSajuki Sajuki!!!!! Lahaulaa, namani sana kuwa na mwanamke wa namna hii! duuuu God bless u my dia
@
@twoten25478 years agoIts true am one of your new supporter....... get back on your feet and move on....life is very short to let such scenes pull you back. Also be happy you made him love his wife back... yaani haukuvunja familia yake, atleast mahali popote walipo sasa wanajua tu ni wewe ndio ulisuluhisha matatizo ya ndoa yao. I salute you Big ...
@
@annananna76228 years agoduh pole sana my dear hiyo ni hali ya dunia and God gives you strength
@
@bintirashidantybaby81468 years agosubhanallah kweli majanga yani mpaka millard ameshikwa na baridi dooh 2
@
@carenewera17098 years agoPole wastara God is there for you dear.
@
@nasrayahya28856 years agodu pole sana wasitala kiukweli unatia imani ktk hii ndoa yako ya huyo mweshimiwa kiukweli si wanawake tunapata mitihani sana ktk ndoa zingine tunazozipitia huyo hakuwa mwanaume bali nimtihani ulikufika hakuwa mwanaume wa thati kwako ...2
@
@usnahbakary37706 years agopole.sana.dd.wastara.mungu.atakupa.mume.mwema.vumilia2
@
@rashidarajabu72888 years agopole sana wastara mola atakujaalia wako wa pekeyako ,unakila kitu umejaaliwaa
@
@sallykanze8 years agoUmeongea vizuri sana wastara,pole sana dadangu na nakupenda bure 18
@
@ernestjohanes90878 years agoduh pole sanaaaa usijali dada tunakupenda wewe una roho nzuri
@
@everlinenkata36117 years agoDada Wastara ww bado ni jembe! mungu atakupa haja ya moyo wako 7
@
@nuruhussein53186 years agosikilizeni wastara hawezi kuka na mwanaume yoyote kwakua sajuki nikiboko yake hakuna atakae shika pezi ya sajuki Ilove you wasitara
@
@leonardikaku69808 years agopole kwa yalio kukuta dada yetu jipe moyo utayashinda. 2
@
@fredymdee76838 years agoMmhm!!kama kweli haya yote yamekukuta pole sana dada angu. 2
@
@marymugure22318 years agopole dada, mungu amekubariki dada tafuta kijana mwenye hana...hakuna ndoa tamu kama hiyo. ..bt umheshimu kama mme ata kama hana ...
@
@sabrinahkizzer52458 years agoMungu yupo atakulipa tu usiumie sana Dada angu 👏👏 1
@
@rudphyneric14465 years agoPole sana dada wastara kaa t ulee watoto wak wanaume akili hawana
@
@hamedaabdultaleb6358 years agoMh pole Dada mungu akujaalie subrah IPO siku utapata kitulizo cha moyo wako 1
@
@mamashakira35808 years agoUsiwaze mamy mitihani tumeumbiwa mshukuru mungu kakuacha mzima 1
@
@kamkamkamkam96188 years agothanks God for taking action before its late. God will take care of you and you will find your own husband 1
@
@ashamohammedashamohammed74018 years agopole my hakuwa mume huyo lilikuwa gumegume 7
@
@sophiamwambi53958 years agopole sana that's life u will move on 1
@
@miriamfritsi91838 years agopole,aunt nafurahi kwa kuwa unaongea kwa kujiamini sana,na kwa kweli wanawake yanatukuta sana kwenye ndoa zetu.hiyo ni changamoto kwenye maisha,muonbe sana mungu atakuletea mume wa ukweli,uchali ndugu yangu,wanawake kika kukicha tunajifunza mambo mengi sana ya wanaume.ila kitu kikubwa zaidi ni kuwa na afya bora,na maisha yaendelee mbele,wewe ni mwanamke shupavu .jiamini na utafanikiwa.29.4.16. ...
@
@husseinkhassim56937 years agohv wanaume wenye dini wamekosa kwelii au ndo hvo unatafta wat maarufu dada maisha hayana rewind tafta mume mwenye dini ukae ktk mising ya dini ili uendeleee kumuombea kwa allah sajuki amuepushe na adhabu ya moto lakini naona unatembea kichwa waz sjakuelewa kiukweli Allah akujaalie uishi ktk misingi ya dini ...5
@
@happinessmwaipopo74266 years agoNakupenda sana Wastara una Busara sana
@
@kili6654 years agoSome of the people they do smear campaign, isolate u later start verbal mental physical emotional abuse and anybody who helps u will be targed stay strong u seems to be brave woman God has plan for everybody on this earth
@
@shinatamar97278 years agopole sana ..mola yuko nawe dia wala usiwe na uchungu shukuru mola amekutibu hata kama sio pesa zake ipa ume tibika na kama aliona ata kuzazilisha basi aibu kwake maana hata mkewe mama watoto wake wame achana sebuse wewe nibora kwa mamuzi yako umefanya vyema sana ...
@
@francismwalukunga21178 years agoWOOOO UKOvizuri tabia za watu bana usipime ila maisha ni vita bahati nzuri ulikua maacho mapemaERA SANA 1
@
@erickjohn97878 years agoduh huyo jamaa inabidi tumuite MIKWARUZO MAN.😀😀😀 4
@
@aishajumanne97548 years agoIPO siku utakutana na Mume wa kweli inshallah izo ni changamoto ktk maishaSite twkutwa na mengi.usiache kuswali
@
@jasminmoshi68515 years agoNakupenda bure dadangu,uko muwazi sana
@
@sukaynaahmad50228 years agoduh! pole sana, matatizo hayo yanawakuta wanawake wengi sana, huyu mwanaume amuandalie mungu majibu,
Related videos for Wastara aeleza kwanini ndoa yake na Mbunge imevunjika ndani ya siku 80:
Nimeshaoa na sitaongeza mke but tuko wachache sana INSHA ALLAH, Utapata.
Utapata mwenye uwezo wa kawaida na mtashiriki wote kujenga Maisha.
INNA LLAHA MAASWABIRIIN ... 17
.Usijali mungu atakupa mume mwenye imani InshaAllah usikate tamaa. 2
Thank you millard for letting Wastara tell her story without interruption.its the best thing ive watched on YT today ... 9
dada pole sana my dia na hilo dada lilikukuta kwa kuwa una stress dada ndio maana hukuchagua.
lakini pia heshima ya familia na kujiheshimu kwako ndo kulifanya ukubali kuolewa.
Napenda kukushauri kuwa usikate tamaa yupo aliyepangwa na akakuoa na akawa zaidi ya sajuki Mola hakuondishei ila hukuwekea kilicho kizuri zaidi.
Nakupenda sana dada
Natamani niwe na namba yako ya simu ... 1
Lakini hupaswi kukataa ndoa na juwa kuwa Binaadamu wote sio sawa. Ndoa ni jambo la heri na baraka ikiwa Mume au Mke watadumisha mambo haya; Upendo, Imani, Kuthaminiana, Kujaliana na Subra.
Ushauri wangu kwako, Bado unaomuda kwavile wewe bado kijana mrembo sana, unapendeza si busara kukaa bila ya kitulizo cha moyo na nafsi kitakachokupa faraja. "Nacho ni Mume" Pole sana. ..Kwa kawaida wenye pesa au wanaopata pesa 'Huharibika kwa Jeuri, Kibri, Dharau na Kutokujali' Inatokana na kutokujielewa, anachoona yeye ni pesa tu ndio kila kitu. Pole sana. ...
Nakukaribisha nyumbani Zanzibar na mimi naitamani hiyo nafasi ya (5).
Kosa la Mpumbavu asiyejielewa lisitukoseshe wengine wenye nia na upendo wa dhati.
"Inshaallah Mungu Akubariki na akulinde na husda pia akupe afya njema" AMIN. ..AMIN (0777481516) ...
umetufunza pia ss wadogo zako asnt
tnx millard ayo god bless you bro 1