Duration 1:27

Italia kuomboleza kifo cha Kobe Bryant kwa wiki nzima, ndiko alikokulia

2 057 watched
0
71
Published 28 Jan 2020

Italia, ambako Kobe Bryant alikulia, wataomboleza kifo chake kwa wiki nzima. Kila timu ya kikapu nchini humo itatoa heshima zake kwa Kobe kwa kukaa kimya kwa dakika moja katika kila mchezo kwa kipindi cha wiki nzima, shirikisho la mchezo huo nchini Italia limesema.

Category

Show more

Comments - 9