Duration 7:52

ELIMU DUNIA: UFAHAMU UCHAWI WA JUA

32 417 watched
0
475
Published 8 Mar 2020

UFAHAMU UCHAWI WA JUA UFAHAMU UCHAWI WA JUA Uchawi, ni nguvu zinazotumiwa na watu wenye maarifa maalumu yasiyo ya kisayansi katika jamii nyingi duniani zikiwemo za Afrika, Asia, ulaya na kadhalika ingawa kuna tofauti nyingi kulingana na mahali au utamaduni. Uchawi Lengo lake ni kujaribu bahati ya mtu na kujilinda na maadui wengine kimazingira au kwa ajili ya kujifurahisha, japo wenye imani potofu na matendo Maovu huutumia Uchawi kwa ajili ya Kumdhuru Mbaya Wake na kupelekea watu kutilia maanani kwa kupandikiza chuki kwa ndugu jamaa au hata jirani kuwa ni mchawi. Siku hizi si Ajabu Sana Majirani Wameandana na Pengine Hufika Mbali Zaidi Hadi kupelekana Kwenye vyombo vya sheria kisa Bibi Wa Mtaa Fulani Eeti Hawamtaki Kisa Ni Mchawi. Kwa mujibu wa vitabu vya dini uwezo na nguvu zote za asili ni za muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo, hivyo yeye anampa Mwanadamu uwezo kadiri tofautitofauti kama apendavyo, kwa maana uwezo hiyo hufanya kazi katika hali ya kubahatisha, yaani ni bahati, hakuna mwenye mamlaka ya kuongoza uwezo huo wa asili ila Mwenyezimungu Hakika uchawi upo wa aina nyingi sana na uchawi upo wa faida pia uchawi upo wa hasara, maana kuna uchawi wa kudhuru na Uchawi wa kufaidisha jamii. Mfano kuna uchawi wa jua, uchawi wa mbalamwezi,Uchawi wa upepo,Uchawi wa moto,Uchawi wa maji ,Japo kuna uchawi unaofanana na kushabiana na tabia,ila kuna tabaka kuu mbili ambazo ni jua na mwezi na katika hivyo vyote ndio tunapata uchawi mweusi na uchawi mweupe, Na katika tabaka izo mbili kuna faida na hasara, Lakini mara nyingi uchawi wa jua ndiyo wenye madhara zaidi. Wengi hufahamu kuwa Uchawi ni kitu Cha ajabu na Kutisha Sana, Mtu anayejihusisha au Kutenda Mambo ya kichawi Basi Huogopwa Kabisa na Kutengwa na Jamii Inayomzunguka. Sasa leo drShafiiTheDon anatueleza Siri na jinsi ya kuunda Uchawi wa Jua Ukitaka kuunda uchawi wa jua katika mwili wako hakikisha unafanya mazoezi ya kuwa rafiki na jua na kuupasha mwili joto ili uweze kutumia nishati hii ya jua kwa uchawi wa aina yoyote na pia huleta spirit yenye nguvu. Ukitaka kutumia uchawi huu unatakiwa kwanza ujipange na mazoezi ya jua na kuliangalia na kuvuta pumzi kisha unaliita kama nitakavyokuelekeza hapo baadaye. Chukua mafuta ya SUN OIL ujipake mwili mzima kisha uvae nguo nyepesi ambayo jua litapenya kwa wepesi na nguo hiyo iwe ya rangi nyekundu, kisha ufanye mazoezi ya kukaa Juani kila siku saa mbili asubuhi, kaa dakika 45 ukiwa umeliangalia jua na ukisema maneno yafuatayo "Wewe Jua nina kuomba kwa nguvu za mwenyezi mungu na kwanguvu za maraika wanaokuongoza wewe naitaji nguvu za uponyaji na za uangamizaji kutoka kwako naitaji kipaji cha kuwasha moto kwa kutumia mikono yangu". Kumbuka wakati unasema maneno haya uwe umeelekeza mikono katika JUA yaani utafanya Kama Unasoma Dua vile na moyo wako uwe huru na wazi kwa imani ya kwamba unaongea na kiumbe JUA. Utafanya zoezi hilo asubuhi mchana saa 8 na jioni saa 11 na utafanya kwa muda wa siku saba bila ya kumpumzika na cha kuzingatia macho na viganja vyako vya mikono yote miwili vielekee juani. Pia unatakiwa kula chakula chenye roho naomba tuelewane vizuri hapa chakula chenye Roho ni vyakula vitokanavyo na Kuchinja na si vinginevyo na utakiwi kufanya jimai yaani Kushiriki tendo kwa muda wa siku zote hizo na kazi hii inapendeza kuifanya wakati wa kiangazi yaani Wakati wa Jua Kali. Ukifanya Zoezi hili litakupatia kiumbe aitwae FANYA au kwa jina lingine SHAMS ambaye ana uwezo wa kufanya maajabu kwa kutumia mikono yako pamoja na macho unaweza kumtibu mtu unaweza kumtibu mtu kwa kutumia mikono yako,Hapa ndio pale unapokutana na Mtu akimgusa Mtu mwenye Matatizo anapata Afueni kwa Kumgusa Tu. #wasafimedia #thestorybook #mtigaabdallah

Category

Show more

Comments - 29
  • @
    @abdulrahmanhassan92544 years ago Mtiga abdalla & ananies edgar wote watangazaji wazuri, shukran sanaa kwa elimu. 7
  • @
    @msamgunda76844 years ago Imekatazwa kuliabudia jua. Huo ni ushilikinaallah. 7
  • @
    @user-hm1zd9vj6v5 months ago Dah! Don, hakika wewe nikiboko kweli wewe nimtafiti wahali yajuu san.
  • @
    @wakawakakhamis95584 years ago Story book nishahama hamna ishuu nimekufata huku broo wewe unajua. 2
  • @
    @huchonde99914 years ago Shafii naitaj nijaribu ila nkuuze pindi anapoingia vp ntaluhsiwa kifanya ibada na kuonana n mwanamke. 2
  • @
    @HUSSEINSUNKAR-sc2ro7 months ago Malim hayo maneno kusema kuamuru majini yatoke nigani.
  • @
    @HUSSEINSUNKAR-sc2ro7 months ago Malim hutakiwi kula chakula mpala nyama ama nikwa zile siku saba tu.
  • @
    @mamaaryana3624 years ago Mzee unatisha baba, endelea kutupa elimu zaidi. 2
  • @
    @mwanaidimuhindi66714 years ago Sema shafii sijui tutakupataje mana kwa simu pia mtihani. 2
  • @
    @rayyanabdul52334 years ago Kweli wa chawi wa bongo sio km wachawi wa mbelewachawi wa bongo ni mikosi tu. 1