Mkuu wa Mkoa Mwanza, Albert Chalamila Mei 26, 2021 amekagua ujenzi wa jengo la abiria katika uwanja wa ndege wa Mwanza na kubainisha kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kutoa fedha zilizosalia kwa ajili ya kukamilisha mradi huo pamoja na mingine iliyoanzishwa wakati wa uongozi wa hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyefariki Machi 17, 2021.
Tovuti @BMG BLOG https://www.bmgblog.co.tz/
Facebook @BMG HABARI https://web.facebook.com/bmghabari
Twitter @bmghabari https://twitter.com/bmghabari
Instagram @bmghabari https://www.instagram.com/bmghabari/
#BMGTV #BMGBLOG #BMGHABARI #PamojaDaimaBMG