Duration 36:20

المنظومة الميمية في الوصايا والآداب العلمية للشيخ العلامة حافظ بن أحمد الحكمي رحمه الله تعالى 美國

1 232 watched
0
19
Published 17 Jun 2020

Adabu Ni Katika Mambo Muhimu Ambayo Mwanaadamu Anapaswa Kuyajua Na Kujipamba Nayo, Haya Ni Mashairi Yanayohusiana Na Adabu Na Nyasia Mbalimbali Ambazo Mwanafunzi Husuusan Yule Mwenye Kusoma Elimu Ya Kisheria Anapaswa Kujipamba Nazo Na Kuzingatia. Punde Tutawaletea Tarjamah Ya Mashairi Hayo Ambayo Yaliwahi Kufundishwa Katika Markaz Ibnu Taymiyyah Maarufu Kwa Jina La Markaz Pongwe; Yalisomeshwa Na Sheikh Wetu Mlezi: Sheikh Abul-Fadhil Kassim Bin Mafuta Kassim Allah Amuhifadhi , Amthibitishe Katika Hakki, Amtilie Baraka Katika Elimu Na Umri Wake Na Ampe Umri Mrefu Ili Jamii Ya Kiislamu Iendelee Kuelimika Kupitia Yeye. Vivyo Hivyo Allaah Awajaalie Afya Na Salama Masheikh Zetu Na Maduaat Ambao Wamesimama Katika Hakki Walioko Ndani Ya Nchi Na Nje Ya Nchi. Pia Akujaalie Wewe Msikilizaji Afya Na Nguvu Upate Kusikiliza Yaliyoya Hakki Na Kuyafuata. Tunamuomba Allah Atujaalie Mwisho Mwema Na Atujaalie Ikhlasw Katika Matendo Yetu. Hakika Uislamu wa sawa ni ule waliokuwa na Maswahaba na Mtume Hivyo ni wajibu kwa muislamu kurudi katika uislamu wa sawa Hana budi kuusoma huo Uislamu wa sawa ili kujua kipi ni sawa na kipi ni makosa

Category

Show more

Comments - 0