@johnmacha21945 years agoGood job mama this is a spiritual mission. 1
@
@minabw73015 years agoDuuh wabongo kwa kuogopa maiti! Kuosha maiti, kumuandaa na kumsafirisha ni kazi nzuri sana tena ya kimungu na haitishi na wala huoti usiku. I never dream friends that you treated well on the other side. They will welcome you with love. ...Expand4
@
@worldrapamako39605 years agoWakwa kucomment mkininyima like haa itakuwa roho mbaya nataka like 70 na me nijione star wa kesho jamani. 54
@
@margarethsaramaki11005 years agoHongera dada mungu akutangulie kwa kazi yako na akuepushe na balaa zote zasana. 14
@
@gitu4me5 years agoSafi sana huyu mama hodari hizi ndo habari safi nzuri umeanza kutuletea. 3
@
@Views-mf8ir5 years agoGo mama mcha. i told u wewe ni moja kati ya mama wa dhahabu sana. mungu akubariki. 1
@
@fortnataangelo48055 years agoKama umesikia mwanamke amebeba dunia, na unakubaliana, gonga like twende sawa, 14
@
@azizasikalwani84325 years agoNakupenda dada mungu akupe maisha marefu.
@
@mtaalamwamambo20995 years agoAlafu kuna mjinga mmja utasikia wakiona wachaga wanafanikiwa wanasema ni freemasons, pumbavu kabsaa wachaga hoyeee. 14
@
@gracetitus99635 years agoHofu gani? Kama umezaliwa lazima siku moja utakufa. Watanzania acheni kuamini ushirikina na hofu zinzorudisha maendeleo nyuma. Hongera grace, graces are always strong women. 5
@
@mahmudasalum95575 years agoDah.so emotional. Unabeba sku moja unakufa unabebwa ww kwny gar ioio
@
@janempoki17095 years agoPenda wewe mama nipeni like bhas na mm! 30
@
@albertoarcangel58595 years agoSawa kabisa dereva wa idara ya maji, mamaa nakupendag a sana mchangamfuu mno. 1
@
@worldrapamako39605 years agoWanaume awana ukame tuu watu wanabaka mpaka maiti ndembo itakuwaje wamuogope mama mbichi kama uyu. 4
@
@kavoomshana24135 years agoNamjua huyu mother alikuwa idara ya maji anapiga gear ile cruzer ni nomaa huyo. 1
@
@agnesarch84365 years agoHongera mom, mungu akupe ujasiri na nguvu ya kufanya kazi yako, ila mtangazaji unauliza maswali ya ajabu asee eti " fedha unayopata inakusaidia ktk maswala gani? " brother r u serious! 1
@
@carolgasper21215 years agoHuyu mwandishi sjui alipitia usaili gani had kuajiriwa anarudia maswali yaleyale. 3
@
@janniehenry95895 years agoAsante mama ulimfikisha nancy wetu kyela salama kabisa. 1
@
@nkamangi4707last yearNimeendesha sana victoria funeral service ya home moshi ukiendesha watu wanahisi mgaidii jamani hii ni service kama service zingine.
@
@liviaG875 years agoMillard ayo huyu mtangazaji si wa kiwango cha millard ayo. Sijui umemtoa wapi. 3
@
@alexanderhaule76675 years agoNamjua hyu kwa wiki lazima nipishane nae hpa kcmc nikiingia chuo mara kadhaa. 5
@
@deodatusnchimbi76335 years agoWanaume wa dar atuwezi sisi izo vitu we pambana tu dada. 5
@
@hisanmwakijungu104 years agoKilicho nivutia ni ilo shape. Mengine yoote ata.
@
@aminasalum19545 years agoYote9 unamzigo dadaake balaa huo mshep nishida.
@
@angeljackson43295 years agoUnauliza maswali kama unamuuliza mtoto wakati huyo ni mama na mtu mzima hebu uliza maswali yenye tija.
@
@bashiruhassani1017last yearUyu mtangazaji anauliza maswar ya kijinga.
@
@minabw73015 years agoDuuh wabongo kwa kuogopa maiti! Kuosha maiti, kumuandaa na kumsafirisha ni kazi nzuri sana tena ya kimungu na haitishi na wala huoti usiku. I never dream friends that you treated well on the other side. They will welcome you with love. ...Expand4
Related videos for MAMA MAARUFU MOSHI ANAENDESHA GARI LA KUBEBA MAITI WANAUME WANANIOGOPA:
hizi ndo habari safi
nzuri umeanza kutuletea. 3
i told u wewe ni moja kati ya mama wa dhahabu sana.
mungu akubariki. 1
ila mtangazaji unauliza maswali ya ajabu asee eti " fedha unayopata inakusaidia ktk maswala gani? " brother r u serious! 1